MEGA.Bible ค้นหา
ไทย

2 Mambo Ya Nyakati 26:10

Akajenga pia minara jangwani na kuchimba visima vingi vya maji, kwa sababu alikuwa na mifugo mingi chini ya vilima na katika nchi tambarare. Alikuwa na watu waliofanya kazi katika mashamba yake, na kwenye mashamba yake ya mizabibu huko vilimani na katika ardhi zenye rutuba, kwa kuwa aliupenda udongo.

อ่านในบริบท

Embed this verse

Copy this HTML into your site — free to use, no keys, no tracking. Add ?theme=light or ?theme=dark to the address to match your page.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ch/26/10" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Mambo Ya Nyakati 26:10 — MEGA.Bible"></iframe>