MEGA.Bible ค้นหา
ไทย

2 Mambo Ya Nyakati 23:18

Yehoyada akaweka uangalizi wa Hekalu la Mwenyezi Mungu mikononi mwa makuhani, hao Walawi, ambao Mfalme Daudi alikuwa amewagawa ili wahudumu hekaluni kwa ajili ya kutoa sadaka za kuteketezwa za Mwenyezi Mungu, kama ilivyoandikwa katika Torati ya Musa, kwa kushangilia na kuimba, vile Daudi alikuwa ameagiza.

อ่านในบริบท

Embed this verse

Copy this HTML into your site — free to use, no keys, no tracking. Add ?theme=light or ?theme=dark to the address to match your page.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ch/23/18" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Mambo Ya Nyakati 23:18 — MEGA.Bible"></iframe>