Lakini watu wote waovu na wakorofi miongoni mwa wafuasi wa Daudi wakasema, “Kwa sababu hawakuenda pamoja nasi, hatutagawana nao nyara tulizorudisha. Lakini, kila mtu aweza kuchukua mkewe na watoto wake na kuondoka.”⋮
อ่านในบริบท →
Copy this HTML into your site — free to use, no keys, no tracking. Add ?theme=light or ?theme=dark to the address to match your page.
<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/1sa/30/22" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="1 Samweli 30:22 — MEGA.Bible"></iframe>