1 Wafalme 8:65
Hivyo Sulemani akaiadhimisha sikukuu kwa wakati ule, na Waisraeli wote pamoja naye: walikuwa kusanyiko kubwa sana, watu kutoka Lebo-Hamathi hadi Kijito cha Misri. Wakaiadhimisha mbele za Mwenyezi Mungu, Mungu wetu, kwa siku saba na siku saba zaidi, yaani jumla siku kumi na nne.ข้อนี้ในโลกจริง
เมื่อไร
ด้วยถ้อยคำใด
- חֲמָתChămâthChamath, a place in Syria
- חַגchaga festival, or a victim therefor
- קָהָלqâhâlassemblage (usually concretely)
- נַחַלnachala stream, especially a winter torrent; (by implication) a (narrow) valley (in which a broo
- עֵתʻêthtime, especially (adverb with preposition) now, when, etc.
- שְׁלֹמֹהShᵉlômôhShelomah, David's successor
- אַרְבַּעʼarbaʻfour
- עָשָׂרʻâsârten (only in combination), i.e. -teen; also (ordinal) -teenth
อีก 10 คำในข้อนี้
คำภาษาฮีบรูและกรีกที่อยู่เบื้องหลังข้อนี้ การจับคู่คำต่อคำจะมาพร้อมกับฉบับแปลคำต่อคำ

