MEGA.Bible ค้นหา
ไทย

1 Mambo Ya Nyakati 7:2

Wana wa Tola walikuwa: Uzi, Refaya, Yerieli, Yahmai, Ibsamu na Samweli waliokuwa viongozi wa jamaa zao. Wakati wa utawala wa Mfalme Daudi, wazao wa Tola walioorodheshwa kama wapiganaji katika ukoo wao walikuwa watu elfu ishirini na mbili na mia sita.

อ่านในบริบท

Embed this verse

Copy this HTML into your site — free to use, no keys, no tracking. Add ?theme=light or ?theme=dark to the address to match your page.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/1ch/7/2" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="1 Mambo Ya Nyakati 7:2 — MEGA.Bible"></iframe>