1 Mambo Ya Nyakati 4:17
Wana wa Ezra walikuwa: Yetheri, Meredi, Eferi na Yaloni. Mmoja wa wake zake Meredi aliwazaa: Miriamu, Shamai na Ishba aliyekuwa baba yake Eshtemoa.Wana wa Ezra walikuwa: Yetheri, Meredi, Eferi na Yaloni. Mmoja wa wake zake Meredi aliwazaa: Miriamu, Shamai na Ishba aliyekuwa baba yake Eshtemoa.