1 Mambo Ya Nyakati 19:4
Kwa hiyo Hanuni akawakamata watu wa Daudi, akawanyoa ndevu, akakata nguo zao katikati kwenye matako, akawaachia waende zao.Kwa hiyo Hanuni akawakamata watu wa Daudi, akawanyoa ndevu, akakata nguo zao katikati kwenye matako, akawaachia waende zao.