1 Mambo Ya Nyakati 18:1
Baada ya muda, Daudi akawashinda Wafilisti na kuwatiisha, naye akatwaa Gathi pamoja na vijiji vinavyouzunguka kutoka utawala wa Wafilisti.Baada ya muda, Daudi akawashinda Wafilisti na kuwatiisha, naye akatwaa Gathi pamoja na vijiji vinavyouzunguka kutoka utawala wa Wafilisti.