Mambo Ya Walawi 23:18
Toeni pamoja na hiyo mikate wana-kondoo saba, kila mmoja wa mwaka mmoja asiye na dosari, na fahali mchanga, na kondoo dume wawili. Watakuwa sadaka ya kuteketezwa kwa moto iliyotolewa kwa Mwenyezi Mungu, pamoja na sadaka za nafaka na sadaka za vinywaji, sadaka iliyotolewa kwa moto yenye harufu nzuri ya kumpendeza Mwenyezi Mungu.This verse in the real world
Who
In what words
- נִיחוֹחַnîychôwachproperly, restful, i.e. pleasant; abstractly, delight
- נֶסֶךְneçeka libation; also a cast idol
- רֵיחַrêyachodor (as if blown)
- תָּמִיםtâmîymentire (literally, figuratively or morally); also (as noun) integrity, truth
- אִשָּׁהʼishshâhproperly, a burnt-offering; but occasionally of any sacrifice
- כֶּבֶשׂkebesa ram (just old enough to butt)
- פַּרpara bullock (apparently as breaking forth in wild strength, or perhaps as dividing the hoof)
- אַיִלʼayilproperly, strength; hence, anything strong; specifically a chief (politically); also a ram
+11 more words in this verse
The Hebrew and Greek words standing behind this verse. Word-by-word alignment comes with the interlinear.