siku ya giza na huzuni, siku ya mawingu na utusitusi. Kama mapambazuko yanavyosambaa toka upande huu wa milima hata upande mwingine, jeshi kubwa na lenye nguvu linakuja. Jambo kama hili halijakuwepo tangu zamani, wala halitakuwepo tena kamwe kwa vizazi vijavyo.