Yeremia 23:15
Kwa hiyo, hili ndilo asemalo Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni kuhusu manabii: “Nitawafanya wale chakula kichungu na kunywa maji yaliyotiwa sumu, kwa sababu kutokana na manabii wa Yerusalemu kutokumcha Mungu kumeenea katika nchi yote.”This verse in the real world
Where
Who
In what words
- חֲנֻפָהchănuphâhimpiety
- לַעֲנָהlaʻănâhwormwood (regarded as poisonous, and therefore accursed)
- רֹאשׁrôʼsha poisonous plant, probably the poppy (from its conspicuous head); generally poison (even
- שָׁקָהshâqâhto quaff, i.e. (causatively) to irrigate or furnish apotion to
- נָבִיאnâbîyʼa prophet or (generally) inspired man
- צָבָאtsâbâʼa mass of persons (or figuratively, things), especially reg. organized forwar (an army); b
- מַיִםmayimwater; figuratively, juice; by euphemism, urine, semen
- יְרוּשָׁלַ͏ִםYᵉrûwshâlaimJerushalaim or Jerushalem, the capital city of Palestine
+4 more words in this verse
The Hebrew and Greek words standing behind this verse. Word-by-word alignment comes with the interlinear.
