2 Samweli 15:2
Akawa anaamka asubuhi na mapema na kusimama kando ya barabara inayoelekea kwenye lango la mji. Wakati wowote alipokuja mtu yeyote mwenye mashtaka yanayohitaji kuletwa mbele ya mfalme kwa maamuzi, Absalomu naye angemwita na kumuuliza, “Wewe unatoka mji upi?” Naye angejibu, “Mtumishi wako anatoka katika mojawapo ya makabila ya Israeli.”This verse in the real world
When
Who
In what words
- אַיʼaywhere? hence how?
- רִיבrîyba contest (personal or legal)
- שָׁכַםshâkamliterally, to load up (on the back of man or beast), i.e. to start early in the morning
- אֲבִישָׁלוֹםʼĂbîyshâlôwmAbshalom, a son of David; also (the fuller form) a later Israelite
- שֵׁבֶטshêbeṭa scion, i.e. (literally) a stick (for punishing, writing, fighting, ruling, walking, etc.
- שַׁעַרshaʻaran opening, i.e. door or gate
- מִשְׁפָּטmishpâṭproperly, a verdict (favorable or unfavorable) pronounced judicially, especially a sentenc
- עָמַדʻâmadto stand, in various relations (literal and figurative, intransitive and transitive)
+11 more words in this verse
The Hebrew and Greek words standing behind this verse. Word-by-word alignment comes with the interlinear.