2 Mambo Ya Nyakati 35:18
Kulikuwa hakujafanyika Pasaka kama hii katika Israeli tangu siku za nabii Samweli wala hakukuwa na mfalme yeyote wa Israeli ambaye kamwe alishaadhimisha Pasaka kama ile aliyofanya Mfalme Yosia, akiwa na makuhani, Walawi, na watu wote wa Yuda na wa Israeli waliokuwa huko, pamoja na wakaaji wa Yerusalemu.This verse in the real world
Where
In what words
- כְּמוֹkᵉmôwa form of the prefix 'k-', but used separately as, thus, so
- פֶּסַחpeçacha pretermission, i.e. exemption; used only techically of the Jewish Passover (the festival
- יֹאשִׁיָּהYôʼshîyâhJoshijah, the name of two Israelites
- שְׁמוּאֵלShᵉmûwʼêlShemuel, the name of three Israelites
- לֵוִיִּיLêvîyîya Levite or descendant of Levi
- נָבִיאnâbîyʼa prophet or (generally) inspired man
- מָצָאmâtsâʼproperly, to come forth to, i.e. appear or exist; transitively, to attain, i.e. find or ac
- יְרוּשָׁלַ͏ִםYᵉrûwshâlaimJerushalaim or Jerushalem, the capital city of Palestine
+7 more words in this verse
The Hebrew and Greek words standing behind this verse. Word-by-word alignment comes with the interlinear.
