2 Mambo Ya Nyakati 23:20
Akawachukua majemadari wa mamia, watu waheshimiwa, viongozi wa watu pamoja na watu wote wa nchi na kumteremsha mfalme kutoka Hekalu la Mwenyezi Mungu. Wakaingia kwenye jumba la mfalme kupitia Lango la Juu na kumkalisha mfalme kwenye kiti cha ufalme;This verse in the real world
Who
In what words
- אַדִּירʼaddîyrwide or (generally) large; figuratively, powerful
- עֶלְיוֹןʻelyôwnan elevation, i.e. (adj.) lofty (compar.); as title, the Supreme
- מָשַׁלmâshalto rule
- מַמְלָכָהmamlâkâhdominion, i.e. (abstractly) the estate (rule) or (concretely) the country (realm)
- כִּסֵּאkiççêʼproperly, covered, i.e. a throne (as canopied)
- שַׁעַרshaʻaran opening, i.e. door or gate
- יָרַדyâradto descend (literally, to go downwards; or conventionally to a lower region, as the shore,
- תָּוֶךְtâveka bisection, i.e. (by implication) the centre
+10 more words in this verse
The Hebrew and Greek words standing behind this verse. Word-by-word alignment comes with the interlinear.