Methuselah
Mtu wa mkuki, mwana wa Henoko, na babu yake Nuhu. Alikuwa mtu mzee kuliko wote ambaye tuna habari zake, akifa akiwa na umri wa miaka mia tisa na sitini na tisa, katika mwaka wa Gharika (Mwa. 5:21-27; 1 Nya. 1:3).
Familia
- Watoto
- Lamech (father of Noah)
Ukoo
Matukio
- 3316 BCBirth of Methuselah
- 3316 BCLifetime of Methuselah
- 3129 BCBirth of Lamech
- 2347 BCDeath of Methuselah
Imetajwa katika
Mwanzo 5
1 Mambo Ya Nyakati 1
Luka 3