Zekaria 8:4
Hili ndilo asemalo Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni: “Kwa mara nyingine tena wanaume na wanawake walioshiba umri wataketi katika barabara za Yerusalemu, kila mmoja akiwa na mkongojo wake mkononi kwa sababu ya umri wake.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Wapi
Nani
Kwa maneno gani
- מִשְׁעֵנָהmishʻênâhsupport (abstractly), i.e. (figuratively) sustenance or (concretely) a walking-stick
- רְחֹבrᵉchôba width, i.e. (concretely) avenue or area
- רֹבrôbabundance (in any respect)
- זָקֵןzâqênold
- צָבָאtsâbâʼa mass of persons (or figuratively, things), especially reg. organized forwar (an army); b
- יְרוּשָׁלַ͏ִםYᵉrûwshâlaimJerushalaim or Jerushalem, the capital city of Palestine
- יָשַׁבyâshabproperly, to sit down (specifically as judge. in ambush, in quiet); by implication, to dwe
- יָדyâda hand (the open one (indicating power, means, direction, etc.),
+maneno 3 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Isa 65:20–22, Job 42:17, Job 5:26, 1Sa 2:31, Lam 5:11–15, Heb 12:22, Lam 2:20–22
