Zekaria 7:12
Wakaifanya mioyo yao migumu kama gumegume, na hawakuisikiliza sheria au maneno ambayo Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni aliyatuma kwa Roho wake Mtakatifu kupitia manabii waliotangulia. Kwa hiyo Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni, alikasirika sana.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- שָׁמִירshâmîyra thorn; also (from its keenness for scratching) a gem, probably the diamond
- קֶצֶףqetsepha splinter (as chipped off); figuratively, rage or strife
- רִאשׁוֹןriʼshôwnfirst, in place, time or rank (as adjective or noun)
- תּוֹרָהtôwrâha precept or statute, especially the Decalogue or Pentateuch
- נָבִיאnâbîyʼa prophet or (generally) inspired man
- רוּחַrûwachwind; by resemblance breath, i.e. a sensible (or even violent) exhalation; figuratively, l
- צָבָאtsâbâʼa mass of persons (or figuratively, things), especially reg. organized forwar (an army); b
- גָּדוֹלgâdôwlgreat (in any sense); hence, older; also insolent
+maneno 7 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
2Ch 36:16, Ezk 11:19, Neh 9:29–30, Ezk 36:26, Act 28:27, Psa 50:17, Ezk 2:4, Dan 9:11–12