Zekaria 5:4
Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni asema, ‘Nitaituma hiyo laana, nayo itaingia katika nyumba ya mwizi na nyumba ya huyo aapaye kwa uongo kwa Jina langu. Itabaki katika nyumba yake na kuiharibu, pamoja na mbao zake na mawe yake.’ ”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- גַּנָּבgannâba stealer
- לוּןlûwnto stop (usually over night); by implication, to stay permanently; hence (in a bad sense)
- שֶׁקֶרsheqeran untruth; by implication, a sham (often adverbial)
- שָׁבַעshâbaʻto seven oneself, i.e. swear (as if by repeating a declaration seven times)
- כָּלָהkâlâhto end, whether intransitive (to cease, be finished, perish) or transitived (to complete,
- עֵץʻêtsa tree (from its firmness); hence, wood (plural sticks)
- תָּוֶךְtâveka bisection, i.e. (by implication) the centre
- נְאֻםnᵉʼuman oracle
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Hab 2:9–11, Pro 3:33, Mal 3:5, Lev 14:34–45, Job 18:15, Deu 7:26, Jas 5:2–3, Job 20:26