Zekaria 11:6
Kwa kuwa sitawahurumia tena watu wa nchi,” asema Mwenyezi Mungu. “Nitawakabidhi kila mtu mkononi mwa jirani yake na mfalme wake. Wataitenda jeuri nchi, nami sitawaokoa kutoka mikononi mwao.”Zekaria 11:6 katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- כָּתַתkâthathto bruise or violently strike
- חָמַלchâmalto commiserate; by implication, to spare
- רֵעַrêaʻan associate (more or less close)
- נְאֻםnᵉʼuman oracle
- מָצָאmâtsâʼproperly, to come forth to, i.e. appear or exist; transitively, to attain, i.e. find or ac
- אָדָםʼâdâmruddy i.e. a human being (an individual or the species, mankind, etc.)
- יָשַׁבyâshabproperly, to sit down (specifically as judge. in ambush, in quiet); by implication, to dwe
- יָדyâda hand (the open one (indicating power, means, direction, etc.),
+maneno 4 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Jer 13:14, Heb 10:26–31, Isa 9:19–21, Mic 5:8, Mat 22:7, Psa 50:22, Mat 18:33–35, Zec 8:10