Ruthu 2:14
Wakati wa chakula, Boazi akamwambia Ruthu, “Karibia hapa. Kula mkate na uchovye ndani ya siki.” Alipoketi pamoja na wavunaji, akampa nafaka zilizookwa. Akala kiasi alichotaka na kusaza.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- צָבַטtsâbaṭto grasp, i.e. hand out
- חֹמֶץchômetsvinegar
- קָלִיqâlîyroasted ears of grain
- הֲלֹםhălômhither
- פַּתpatha bit
- טָבַלṭâbalto dip, to immerse
- בֹּעַזBôʻazBoaz, the ancestor of David; also the name of a pillar in front of the temple
- צַדtsada side; figuratively, an adversary
+maneno 9 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Rut 2:18, 2Ki 4:43–44, Mat 14:20, Luk 14:12–14, Deu 8:10, Isa 32:8, Isa 58:10–11, Deu 11:15