Warumi 6:19
Ninasema kwa namna ya kibinadamu kwa sababu ya udhaifu wenu wa hali ya asili. Kama vile mlivyokuwa mkivitoa viungo vya miili yenu kama watumwa wa mambo machafu na uovu uliokuwa ukiongezeka zaidi, hivyo sasa vitoeni viungo vyenu kama watumwa wa haki inayowaelekeza mpate kutakaswa.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- ἀνθρώπινοςanthrṓpinoshuman
- ἀκαθαρσίαakatharsíaimpurity (the quality), physically or morally
- ἀνομίαanomíaillegality, i.e. violation of law or (genitive case) wickedness
- ἀσθένειαasthéneiafeebleness (of mind or body); by implication, malady; morally, frailty
- μέλοςmélosa limb or part of the body
- παρίστημιparístēmito stand beside, i.e. (transitively) to exhibit, proffer, (specially), recommend, (figurat
- ὥσπερhṓsperjust as, i.e. exactly like
- δικαιοσύνηdikaiosýnēequity (of character or act); specially (Christian) justification
+maneno 10 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.