Warumi 5:17
Kwa maana ikiwa kutokana na kosa la mtu mmoja, mauti ilitawala kupitia huyo mtu mmoja, zaidi sana wale wanaopokea wingi wa neema ya Mungu na karama yake ya kuhesabiwa haki, watatawala katika uzima kupitia kwa huyo mtu mmoja, yaani Isa Al-Masihi.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- περισσείαperisseíasurplusage, i.e. superabundance
- δωρεάdōreáa gratuity
- βασιλεύωbasileúōto rule (literally or figuratively)
- παράπτωμαparáptōmaa side-slip (lapse or deviation), i.e. (unintentional) error or (wilful) transgression
- δικαιοσύνηdikaiosýnēequity (of character or act); specially (Christian) justification
- μᾶλλονmâllon(adverbially) more (in a greater degree)) or rather
- θάνατοςthánatos(properly, an adjective used as a noun) death (literally or figuratively)
- ζωήzōḗlife (literally or figuratively)
+maneno 10 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.