Ufunuo 3:12
Yeye ashindaye nitamfanya kuwa nguzo katika Hekalu la Mungu wangu, wala hatatoka humo kamwe. Nitaandika juu yake Jina la Mungu wangu na jina la mji mkubwa wa Mungu wangu, Yerusalemu mpya, ambao unashuka kutoka mbinguni kwa Mungu wangu. Nami pia nitaandika juu yake Jina langu jipya.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Wapi
Nani
Kwa maneno gani
- στῦλοςstŷlosproperly akin to the base of G2476 (ἵστημι)); a post ("style"), i.e. (figuratively) suppor
- νικάωnikáōto subdue (literally or figuratively)
- καινόςkainós
- ναόςnaósa fane, shrine, temple
- ἔξωéxōout(-side, of doors), literally or figuratively
- ἹερουσαλήμHierousalḗmHierusalem (i.e. Jerushalem), the capitol of Palestine
- καταβαίνωkatabaínōto descend (literally or figuratively)
- ἔτιéti"yet," still (of time or degree)
+maneno 16 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
