Ufunuo 10:4
Nazo zile radi saba zilipotoa ngurumo, nilitaka kuanza kuandika, lakini nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, “Yatie muhuri hayo yaliyosemwa na hizo radi saba na usiyaandike.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- βροντήbrontḗthunder
- σφραγίζωsphragízōto stamp (with a signet or private mark) for security or preservation (literally or figura
- ἑπτάheptáseven
- μέλλωméllōto intend, i.e. be about to be, do, or suffer something (of persons or things, especially
- ὅτεhóteat which (thing) too, i.e. when
- φωνήphōnḗa tone (articulate, bestial or artificial); by implication, an address (for any purpose),
- γράφωgráphōto "grave", especially to write; figuratively, to describe
- μοίmoíto me
+maneno 9 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.