Marko 10:32
Walikuwa njiani wakipanda kwenda Yerusalemu, na Isa alikuwa amewatangulia. Wanafunzi wake walishangaa, nao watu waliowafuata walijawa na hofu. Isa akawachukua tena wale wanafunzi wake kumi na wawili kando na kuwaambia yatakayompata.Marko 10:32 katika ulimwengu halisi
Wapi
Nani
Kwa maneno gani
- θαμβέωthambéōto stupefy (with surprise), i.e. astound
- συμβαίνωsymbaínōto walk (figuratively, transpire) together, i.e. concur (take place)
- προάγωproágōto lead forward (magisterially); intransitively, to precede (in place or time (participle,
- ἹεροσόλυμαHierosólymaHierosolyma (i.e. Jerushalaim), the capitol of Palestine
- παραλαμβάνωparalambánōto receive near, i.e. associate with oneself (in any familiar or intimate act or relation)
- δώδεκαdṓdekatwo and ten, i.e. a dozen
- ἀναβαίνωanabaínōto go up (literally or figuratively)
- ὁδόςhodósa road; by implication, a progress (the route, act or distance); figuratively, a mode or m
+maneno 13 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Mat 20:17–19, Luk 18:31–34, Luk 9:51, Luk 10:23, Jhn 11:16, Mat 13:11, Mrk 4:34, Jhn 11:8
