Mathayo 5:25
“Patana na mshtaki wako upesi wakati mpo njiani kwenda mahakamani, ili mshtaki wako asije akakutia mikononi mwa hakimu, naye hakimu akakutia mikononi mwa askari, nawe ukatupwa gerezani.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- εὐνοέωeunoéōto be well- minded, i.e. reconcile
- ἀντίδικοςantídikosan opponent (in a lawsuit); specially, Satan (as the arch-enemy)
- ἴσθιísthibe thou
- ὅτουhótouduring which same time, i.e. whilst
- κριτήςkritḗsa judge (genitive case or specially)
- ταχύtachýshortly, i.e. without delay, soon, or (by surprise) suddenly, or (by implication, of ease)
- ὑπηρέτηςhypērétēsan under-oarsman, i.e. (generally) subordinate (assistant, sexton, constable)
- μήποτεmḗpotenot ever; also if (or lest) ever (or perhaps)
+maneno 12 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Luk 12:58–59, Pro 25:8, Heb 3:13, Luk 14:31–32, Isa 55:6–7, Heb 3:7, Luk 13:24–25, Pro 6:1–5