Mathayo 20:8
“Ilipofika jioni, yule mwenye shamba la mizabibu akamwambia msimamizi, ‘Waite hao vibarua na uwalipe ujira wao, ukianzia na wale walioajiriwa mwisho na kuishia na wale walioajiriwa kwanza.’Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- ἐπίτροποςepítroposa commissioner, i.e. domestic manager, guardian
- ἐργάτηςergátēsa toiler; figuratively, a teacher
- ὄψιοςópsioslate; feminine (as noun) afternoon (early eve) or nightfall (later eve)
- ἀμπελώνampelṓna vineyard
- μισθόςmisthóspay for service (literally or figuratively), good or bad
- ἀποδίδωμιapodídōmito give away, i.e. up, over, back, etc. (in various applications)
- ἔσχατοςéschatosfarthest, final (of place or time)
- ἄρχομαιárchomaito commence (in order of time)
+maneno 9 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Deu 24:15, 1Pe 4:10, Rom 2:6–10, Gen 15:2, 1Co 4:1–2, Tit 1:7, Gen 39:4–6, Lev 19:13