Mathayo 1:17
Hivyo, kulikuwa na jumla ya vizazi kumi na vinne tangu Ibrahimu hadi Daudi, vizazi kumi na vinne tangu Daudi hadi wakati wa uhamisho wa Babeli, na vizazi kumi na vinne tangu wakati wa uhamisho wa Babeli hadi Al-Masihi.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Wapi
Kwa maneno gani
- δεκατέσσαρεςdekatéssaresten and four, i.e. fourteen
- μετοικεσίαmetoikesíaa change of abode, i.e. (specially), expatriation
- ΒαβυλώνBabylṓnBabylon, the capitol of Chaldæa (literally or figuratively (as a type of tyranny))
- γενεάgeneáa generation; by implication, an age (the period or the persons)
- ΔαβίδDabídDabid (i.e. David), the Israelite king
- ἈβραάμAbraámAbraham, the Hebrew patriarch
- ἕωςhéōsa conjunction, preposition and adverb of continuance, until (of time and place)
- ΧριστόςChristósanointed, i.e. the Messiah, an epithet of Jesus
+maneno 4 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
