Luka 14:12
Kisha Isa akamwambia yule aliyewaalika, “Uandaapo karamu ya chakula cha mchana au cha jioni, usialike rafiki zako au ndugu zako au jamaa zako au majirani zako walio matajiri tu. Ukifanya hivyo, nao wanaweza kukualika kwao, nawe ukawa umepata malipo.Luka 14:12 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- ἀντικαλέωantikaléōto invite in return
- ἀνταπόδομαantapódomaa requital (properly, the thing)
- ἄριστονáristonthe best meal (or breakfast; perhaps from ("early")), i.e. luncheon
- γείτωνgeítōna neighbour (as adjoining one's ground); by implication, a friend
- συγγενήςsyngenḗsa relative (by blood); by extension, a fellow countryman
- δεῖπνονdeîpnondinner, i.e. the chief meal (usually in the evening)
- φίλοςphílosactively, fond, i.e. friendly (still as a noun, an associate, neighbor, etc.)
- μήποτεmḗpotenot ever; also if (or lest) ever (or perhaps)
+maneno 16 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.