Luka 12:45
Lakini kama yule mtumishi atasema moyoni mwake, ‘Bwana wangu anakawia kurudi,’ kisha akaanza kuwapiga wale watumishi, wa kiume na wa kike, na kula na kunywa na kulewa.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- χρονίζωchronízōto take time, i.e. linger
- παιδίσκηpaidískēa girl, i.e. (specially), a female slave or servant
- τύπτωtýptōto "thump", i.e. cudgel or pummel (properly, with a stick or bastinado), but in any case b
- παῖςpaîsa boy (as often beaten with impunity), or (by analogy), a girl, and (genitive case) a chil
- ἐσθίωesthíōused only in certain tenses, the rest being supplied by G5315 (φάγω); to eat (usually lite
- πίνωpínōto imbibe (literally or figuratively)
- ἄρχομαιárchomaito commence (in order of time)
- δοῦλοςdoûlosa slave (literal or figurative, involuntary or voluntary; frequently, therefore in a quali
+maneno 12 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Mat 24:48–50, Ezk 34:8, Jer 20:2, Rev 18:7–8, 2Pe 2:3–4, 2Pe 2:13, Ezk 12:22, 3Jn 1:9–10