Yoshua 7:25
Yoshua akasema, “Kwa nini umetuletea taabu hii? Mwenyezi Mungu atakuletea taabu leo.” Ndipo Israeli yote ikampiga Akani kwa mawe, na baada ya kuwapiga jamaa yake yote kwa mawe, wakawateketeza kwa moto.Yoshua 7:25 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- עָכַרʻâkarproperly, to roil water; figuratively, to disturb or affict
- רָגַםrâgamto cast together (stones), i.e. to lapidate
- סָקַלçâqalproperly, to be weighty; but used only in the sense of lapidation or its contrary (as if a
- מָהmâhproperly, interrogative what? (including how? why? when?); but also exclamation, what! (in
- שָׂרַףsâraphto be (causatively, set) on fire
- יְהוֹשׁוּעַYᵉhôwshûwaʻJehoshua (i.e. Joshua), the Jewish leader
- אֶבֶןʼebena stone
- אֵשׁʼêshfire (literally or figuratively)
+maneno 4 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Jos 6:18, 1Ch 2:7, Deu 17:5, Lev 24:14, Lev 20:2, Jos 7:11–13, Deu 21:21, Deu 22:21–24