Yoshua 7:24
Basi Yoshua, pamoja na Israeli yote, wakamchukua Akani mwana wa Zera, pamoja na ile fedha, lile joho, ile kabari ya dhahabu, wanawe wa kiume na wa kike, ng’ombe, punda na kondoo wake, hema lake pamoja na vitu vyote alivyokuwa navyo, wakavileta katika Bonde la Akori.Yoshua 7:24 katika ulimwengu halisi
Wapi
Kwa maneno gani
- עָכָןʻÂkânAkan, an Israelite
- אַדֶּרֶתʼadderethsomething ample (as a large vine, a wide dress)
- זֶרַחZerachZerach, the name of three Israelites, also of an Idumaean and an Ethiopian prince
- עֵמֶקʻêmeqa vale (i.e. broad depression)
- שׁוֹרshôwra bullock (as a traveller)
- חֲמוֹרchămôwra male ass (from its dun red)
- לָשׁוֹןlâshôwnthe tongue (of man or animals), used literally (as the instrument of licking, eating, or s
- יְהוֹשׁוּעַYᵉhôwshûwaʻJehoshua (i.e. Joshua), the Jewish leader
+maneno 9 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Pro 15:27, 1Ti 6:9–10, Jos 7:26, Jos 15:7, Exo 20:5, Num 16:27–31, Isa 65:10, Hos 2:15
