Yoshua 10:5
Ndipo hao wafalme watano wa Waamori, ambao ni wafalme wa Yerusalemu, Hebroni, Yarmuthi, Lakishi na Egloni, wakaunganisha majeshi yao. Wakapanda na vikosi vyao vyote, nao wakajipanga dhidi ya Gibeoni na kuishambulia.Yoshua 10:5 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- יַרְמוּתYarmûwthJarmuth, the name of two places in Palestine
- עֶגְלוֹןʻEglôwnEglon, the name of a place in Palestine and of a Moabitish king
- לָכִישׁLâkîyshLakish, a place in Palestine
- גִּבְעוֹןGibʻôwnGibon, a place in Palestine
- חֶבְרוֹןChebrôwnChebron, a place in Palestine, also the name of two Israelites
- אֱמֹרִיʼĔmôrîyan Emorite, one of the Canaanitish tribes
- חָנָהchânâhproperly, to incline; by implication, to decline (of the slanting rays of evening); specif
- מַחֲנֶהmachănehan encampment (of travellers or troops); hence, an army, whether literal (of soldiers) or
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.





