Yoeli 2:17
Makuhani, ambao wanahudumu mbele za Mwenyezi Mungu, na walie katikati ya ukumbi wa Hekalu na madhabahu. Waseme, “Wahurumie watu wako, Ee Mwenyezi Mungu. Usifanye urithi wako kitu cha kudharauliwa, neno la dhihaka kati ya mataifa. Kwa nini wasemezane miongoni mwao, ‘Yuko wapi Mungu wao?’ ”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- חוּסchûwçproperly, to cover, i.e. (figuratively) to compassionate
- אוּלָםʼûwlâma vestibule (as bound to the building)
- חֶרְפָּהcherpâhcontumely, disgrace, the pudenda
- מָשַׁלmâshalto rule
- שָׁרַתshârathto attend as a menial or worshipper; figuratively, to contribute to
- בָּכָהbâkâhto weep; generally to bemoan
- נַחֲלָהnachălâhproperly, something inherited, i.e. (abstractly) occupancy, or (concretely) an heirloom; g
- מִזְבֵּחַmizbêachan altar
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.