Inueni bendera dhidi ya kuta za Babeli! Imarisheni ulinzi, wekeni walinzi, andaeni waviziaji! Mwenyezi Mungu atatimiza kusudi lake, amri yake juu ya watu wa Babeli.
Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.