“Noeni mishale, chukueni ngao! Mwenyezi Mungu amewaamsha wafalme wa Wamedi, kwa sababu nia yake ni kuangamiza Babeli. Mwenyezi Mungu atalipiza kisasi, kisasi kwa ajili ya Hekalu lake.
Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.