Yeremia 50:31
“Tazama, niko kinyume nawe, ewe mwenye majivuno,” asema Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni, “kwa kuwa siku yako imewadia, yaani wakati wako wa kuadhibiwa.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- זָדוֹןzâdôwnarrogance
- יְהֹוִהYᵉhôvih{YHWH}
- עֵתʻêthtime, especially (adverb with preposition) now, when, etc.
- נְאֻםnᵉʼuman oracle
- צָבָאtsâbâʼa mass of persons (or figuratively, things), especially reg. organized forwar (an army); b
- אֲדֹנָיʼĂdônâythe Lord (used as a proper name of God only)
- יוֹםyôwma day (as the warm hours), whether literal (from sunrise to sunset, or from one sunset to
- בּוֹאbôwʼto go or come (in a wide variety of applications)
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.