Waamuzi 16:2
Watu wa Gaza wakaambiwa, “Samsoni amekuja huku!” Hivyo, wakapazingira mahali pale, nao wakamvizia usiku kucha penye lango la mji. Wakakaa kimya usiku kucha, wakiwaza, “Kutakapopambazuka, tutamuua.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Wapi
Nani
Kwa maneno gani
- עַזָּתִיʻAzzâthîyan Azzathite or inhabitant of Azzah
- שִׁמְשׁוֹןShimshôwnShimshon, an Israelite
- אָרַבʼârabto lurk
- חָרַשׁchârashto scratch, i.e. (by implication) to engrave, plough; hence (from the use of tools) to fab
- אוֹרʼôwrillumination or (concrete) luminary (in every sense, including lightning, happiness, etc.)
- סָבַבçâbabto revolve, surround, or border; used in various applications, literally and figuratively
- בֹּקֶרbôqerproperly, dawn (as the break of day); generally, morning
- לַיִלlayilproperly, a twist (away of the light), i.e. night; figuratively, adversity
+maneno 4 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Psa 118:10–12, 1Sa 23:26, Act 9:24, Mat 27:1, 2Co 11:32–33, 1Sa 19:11, Mat 21:38, Act 23:15