Waamuzi 12:5
Wagileadi wakaviteka vivuko vya Mto Yordani kuelekea Efraimu. Kisha ilikuwa yeyote aliyenusurika kutoka Efraimu aliposema, “Niache nivuke,” hao wanaume wa Gileadi walimuuliza, “Je wewe ni Mwefraimu?” Akijibu “Hapana,”Waamuzi 12:5 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- אֶפְרָתִיʼEphrâthîyan Ephrathite or an Ephraimite
- מַעֲבָרmaʻăbâra crossing-place (of a river, a ford; of a mountain, a pass); abstractly, a transit, i.e.
- פָּלִיטpâlîyṭa refugee
- לָכַדlâkadto catch (in a net, trap or pit); generally, to capture or occupy; also to choose (by lot)
- גִּלְעָדGilʻâdGilad, a region East of the Jordan; also the name of three Israelites
- יַרְדֵּןYardênJarden, the principal river of Palestine
- אֶפְרַיִםʼEphrayimEphrajim, a son of Joseph; also the tribe descended from him, and its territory
- עָבַרʻâbarto cross over; used very widely of any transition (literal or figurative; transitive, intr
+maneno 2 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.

