Waamuzi 12:4
Ndipo Yefta akakusanya wanaume wa Gileadi pamoja na kupigana na Efraimu. Wagileadi wakawashinda Waefraimu, kwa kuwa Waefraimu walisema, “Ninyi Wagileadi ni waasi mliotoroka toka Efraimu na Manase.”Waamuzi 12:4 katika ulimwengu halisi
Wapi
Kwa maneno gani
- פָּלִיטpâlîyṭa refugee
- יִפְתָּחYiphtâchJiphtach, an Israelite; also a place in Palestine
- גִּלְעָדGilʻâdGilad, a region East of the Jordan; also the name of three Israelites
- קָבַץqâbatsto grasp, i.e. collect
- אֶפְרַיִםʼEphrayimEphrajim, a son of Joseph; also the tribe descended from him, and its territory
- לָחַםlâchamto feed on; figuratively, to consume; by implication, to battle (as destruction)
- תָּוֶךְtâveka bisection, i.e. (by implication) the centre
- נָכָהnâkâhto strike (lightly or severely, literally or figuratively)
+maneno 2 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
1Sa 25:10, Pro 12:13, Deu 3:12–17, Neh 4:4, Psa 78:9, Pro 15:1, Jdg 11:10, Num 32:39–40
