Isaya 7:20
Katika siku ile Bwana atatumia wembe ulioajiriwa kutoka ng’ambo ya Mto, yaani mfalme wa Ashuru, kunyoa nywele za kichwa chako na malaika ya miguu yako, na kuziondoa ndevu zako pia.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- שְׂכִירָהsᵉkîyrâha hiring
- תַּעַרtaʻara knife or razor (as making bare); also a scabbard (as being bare, i.e. empty)
- גָּלַחgâlachproperly, to be bald, i.e. (causatively) to shave; figuratively to lay waste
- סָפָהçâphâhproperly, to scrape (literally, to shave; but usually figuratively) together (i.e. to accu
- שֵׂעָרsêʻârhair (as if tossed or bristling)
- עֵבֶרʻêberproperly, a region across; but used only adverbially (with or without a preposition) on th
- נָהָרnâhâra stream (including the sea; expectation the Nile, Euphrates, etc.); figuratively, prosper
- אַשּׁוּרʼAshshûwrAshshur, the second son of Shem; also his descendants and the country occupied by them (i.
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Isa 8:7, Ezk 5:1–4, Isa 10:15, Ezk 29:18, Jer 27:6–7, Isa 1:5, 2Ch 28:20–21, Isa 24:1–2

