Isaya 53:10
Lakini yalikuwa ni mapenzi ya Mwenyezi Mungu kumchubua na kumsababisha ateseke. Ingawa Mwenyezi Mungu amefanya maisha yake kuwa sadaka ya hatia, ataona uzao wake na kuishi siku nyingi, nayo mapenzi ya Mwenyezi Mungu yatafanikiwa mkononi mwake.Isaya 53:10 katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- דָּכָאdâkâʼto crumble; transitively, to bruise (literally or figuratively)
- אָרַךְʼârakto be (causative, make) long (literally or figuratively)
- חֵפֶץchêphetspleasure; hence (abstractly) desire; concretely, a valuable thing; hence (by extension) a
- אָשָׁםʼâshâmguilt; by implication, a fault; also a sin-offering
- צָלַחtsâlachto push forward, in various senses (literal or figurative, transitive or intransitive)
- חָפֵץchâphêtsproperly, to incline to; by implication (literally but rarely) to bend; figuratively, to b
- חָלָהchâlâhproperly, to be rubbed or worn; hence (figuratively) to be weak, sick, afflicted; or (caus
- זֶרַעzeraʻseed; figuratively, fruit, plant, sowing-time, posterity
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
2Co 5:21, Rom 8:32, Gal 3:13, Zec 13:7, Eph 1:5, Heb 10:6–12, 1Jn 4:9–10, Isa 53:3–6