Isaya 23:13
Tazama katika nchi ya Wakaldayo, watu hawa ambao sasa hawaonekani kama wapo! Waashuru wameifanya nchi hiyo kuwa mahali pa viumbe wa jangwani. Wamesimamisha minara yao ya kuuzingira, wameziteka ngome zake na kuziacha tupu na kuufanya kuwa magofu.Isaya 23:13 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- בַּחִיןbachîyna watch-tower of besiegers
- עָרַרʻârarto bare; figuratively, to demolish
- צִיִּיtsîyîya desert-dweller, i.e. nomad or wild beast
- אַרְמוֹןʼarmôwna citadel (from its height)
- יָסַדyâçadto set (literally or figuratively); intensively, to found; reflexively, to sit down togeth
- כַּשְׂדִּיKasdîya Kasdite, or descendant of Kesed; by implication, a Chaldaean (as if so descended); also
- אַשּׁוּרʼAshshûwrAshshur, the second son of Shem; also his descendants and the country occupied by them (i.
- שׂוּםsûwmto put (used in a great variety of applications, literal, figurative, inferentially, and e
+maneno 3 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.


