Waebrania 9:7
Lakini ni kuhani mkuu peke yake aliyeingia ndani ya sehemu ya pili ya hema. Tena hii ilikuwa mara moja tu kwa mwaka, na hakuingia kamwe bila damu, ambayo alitoa kwa ajili yake mwenyewe na kwa ajili ya dhambi za watu walizotenda bila kukusudia.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- ἀγνόημαagnóēmaa thing ignored, i.e. shortcoming
- ἐνιαυτόςeniautósa year
- ἅπαξhápaxone (or a single) time (numerically or conclusively)
- χωρίςchōrísat a space, i.e. separately or apart from (often as preposition)
- μόνοςmónosremaining, i.e. sole or single; by implication, mere
- δεύτεροςdeúteros(ordinal) second (in time, place, or rank; also adverb)
- προσφέρωprosphérōto bear towards, i.e. lead to, tender (especially to God), treat
- αἷμαhaîmablood, literally (of men or animals), figuratively (the juice of grapes) or specially (the
+maneno 8 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Lev 16:34, Lev 5:18, Exo 30:10, Heb 7:27, Heb 10:19–20, Heb 9:24–25, Isa 3:12, Isa 9:16
