Waebrania 5:7
Katika siku za maisha ya Isa hapa duniani, alimtolea maombi na dua pamoja na kulia sana na machozi, yeye awezaye kumwokoa na mauti, naye Mungu akamsikia kwa sababu ya kutii kwake kwa unyenyekevu.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- ἱκετηρίαhiketēríaintreaty
- εἰσακούωeisakoúōto listen to
- κραυγήkraugḗan outcry (in notification, tumult or grief)
- δάκρυdákrya tear
- δέησιςdéēsisa petition
- ἰσχυρόςischyrósforcible (literally or figuratively)
- προσφέρωprosphérōto bear towards, i.e. lead to, tender (especially to God), treat
- σώζωsṓzōto save, i.e. deliver or protect (literally or figuratively)
+maneno 13 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Luk 22:41–44, Mrk 14:32–39, Mat 27:46, Jhn 17:1, Jhn 17:4–5, Jhn 12:27–28, Mrk 15:34, Mat 26:28–44