Mwanzo 8:9
Lakini hua hakupata mahali pa kutua, kwa kuwa maji yalienea juu ya uso wa dunia yote, kwa hiyo akarudi kwa Nuhu ndani ya safina. Nuhu akanyoosha mkono akamchukua yule hua, akamrudisha ndani ya safina.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- מָנוֹחַmânôwachquiet, i.e. (concretely) a settled spot, or (figuratively) a home
- תֵּבָהtêbâha box
- יוֹנָהyôwnâha dove (apparently from the warmth of their mating)
- כַּףkaphthe hollow hand or palm (so of the paw of an animal, of the sole, and even of the bowl of
- רֶגֶלregela foot (as used in walking); by implication, a step; by euphemistically the pudenda
- מָצָאmâtsâʼproperly, to come forth to, i.e. appear or exist; transitively, to attain, i.e. find or ac
- מַיִםmayimwater; figuratively, juice; by euphemism, urine, semen
- שָׁלַחshâlachto send away, for, or out (in a great variety of applications)
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.