Mwanzo 47:9
Naye Yakobo akamwambia Farao, “Siku za miaka ya kusafiri kwangu ni miaka mia moja na thelathini. Miaka yangu imekuwa michache na ya taabu, wala haikufikia miaka ya maisha ya baba zangu.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- מָגוּרmâgûwra temporary abode; by extension, a permanent residence
- נָשַׂגnâsagto reach (literally or figuratively)
- מְעַטmᵉʻaṭa little or few (often adverbial or compar.)
- שְׁלוֹשִׁיםshᵉlôwshîymthirty; or (ordinal) thirtieth
- פַּרְעֹהParʻôhParoh, a general title of Egyptian kings
- יַעֲקֹבYaʻăqôbJaakob, the Israelitish patriarch
- חַיchayalive; hence, raw (flesh); fresh (plant, water, year), strong; also (as noun, especially i
- מֵאָהmêʼâha hundred; also as a multiplicative and a fraction
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.