Mwanzo 40:20
Siku ya tatu ilikuwa kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Farao, naye akawaandalia maafisa wake wote karamu. Akawatoa gerezani mnyweshaji mkuu na mwokaji mkuu, akawaweka mbele ya maafisa wake.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- אָפָהʼâphâhto cook, especially to bake
- מִשְׁתֶּהmishtehdrink, by implication, drinking (the act); also (by implication) a banquet or (generally)
- שָׁקָהshâqâhto quaff, i.e. (causatively) to irrigate or furnish apotion to
- שְׁלִישִׁיshᵉlîyshîythird; feminine athird (part); by extension, a third (day, year or time); specifically, a
- פַּרְעֹהParʻôhParoh, a general title of Egyptian kings
- תָּוֶךְtâveka bisection, i.e. (by implication) the centre
- שַׂרsara head person (of any rank or class)
- יָלַדyâladto bear young; causatively, to beget; medically, to act as midwife; specifically, to show
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.