Mwanzo 34:7
Basi wana wa Yakobo wakarudi kutoka mashambani mara tu waliposikia kilichotukia. Walijawa na huzuni na ghadhabu, kwa sababu Shekemu alikuwa amefanya jambo la aibu katika Israeli kwa kukutana kimwili na binti Yakobo, jambo ambalo halikupasa kutendwa.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- נְבָלָהnᵉbâlâhfoolishness, i.e. (morally) wickedness; concretely, a crime; by extension, punishment
- עָצַבʻâtsabproperly, to carve, i.e. fabricate or fashion; hence (in a bad sense) to worry, pain or an
- חָרָהchârâhto glow or grow warm; figuratively (usually) to blaze up, of anger, zeal, jealousy
- שָׁכַבshâkabto lie down (for rest, sexual connection, decease or any other purpose)
- מְאֹדmᵉʼôdproperly, vehemence, i.e. (with or without preposition) vehemently; by implication, wholly
- שָׂדֶהsâdeha field (as flat)
- יַעֲקֹבYaʻăqôbJaakob, the Israelitish patriarch
- בַּתbatha daughter (used in the same wide sense as other terms of relationship, literally and figu
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Jos 7:15, Jdg 20:6, Deu 22:21, Heb 13:4, Gen 20:9, 2Sa 13:12–13, Exo 19:5–6, 1Co 10:8