Mwanzo 31:42
Kama Mungu wa baba yangu, Mungu wa Ibrahimu na Hofu ya Isaka, hakuwa pamoja nami, hakika ungenifukuza mikono mitupu. Lakini Mungu ameona taabu yangu na kazi ngumu ya mikono yangu, naye usiku uliopita amekukemea.”Mwanzo 31:42 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- רֵיקָםrêyqâmemptily; figuratively (objective) ineffectually, (subjective) undeservedly
- יְגִיעַyᵉgîyaʻtoil; hence, a work, produce, property (as the result of labor)
- לוּלֵאlûwlêʼif not
- עֳנִיʻŏnîydepression, i.e. misery
- פַּחַדpachada (sudden) alarm (properly, the object feared, by implication, the feeling)
- יָכַחyâkachto be right (i.e. correct); reciprocal, to argue; causatively, to decide, justify or convi
- יִצְחָקYitschâqJitschak (or Isaac), son of Abraham
- אַבְרָהָםʼAbrâhâmAbraham, the later name of Abram
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.